
Hata kama kuna kampuni inayotaka kuweka mabango, iingie mkataba na Mfuko wa Barabara na si vinginevyo ili fedha ziingie kwenye mfuko na zitumike kujenga barabara nyingine. Waziri Dk. Magufuli alisema halmashauri zinakusanya fedha na kwenda kuzitumia kulipana posho kwenye vikao vya madiwani, na si kujenga barabara kwa maendeleo ya wananchi.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.