HABARI zinasema kuwa Summer Dee (summer dance) amefariki dunia leo majira ya saa 12 asubuhi, katika hospitali ya rufaa ya Bugando jijini Mwanza ambapo alilazwa tangu siku ya jumanne ya wiki iliyopita mara baada ya kuzidiwa kwa maradhi ya ini. DJ Summer Dee aliyejinyakulia sifa na kufahamika zaidi wakati akifanya kazi miaka ya nyuma kama Dj ndani ya Clouds Fm Arusha na Dar es salaam. Mpaka anafariki dunia marehemu alikuwa mwajiriwa katika Kampuni inayojihusisha na Uchimbaji wa madini ya Dhahabu mkoani Mwanza iliyopo wilayani Geita iitwayo 'Geita Gold Mine'.
Mazishi yatafanyika leo saa kumi jioni jijini Mwanza.
Binadamu kuanza kuchimba madini angani?
-
Miamba ya angani ina utajiri mkubwa wa madini adimu kama platinamu, nikeli,
kobalti, na hata helium-3, ambayo ni muhimu katika uzalishaji wa nishati ya
nyu...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.