Mkali wa kunyetisha 'Taarifa Kumi kali za kila siku' kupitia Clouds Fm kipindi chaitwa 'Aplifaya' Millard Ayo hivi sasa yuko ardhi ya miamba 88.1 kwa nia ya kujumuika na marafiki kushea good time za kuikaribisha 2012. Wazee wa Stone club Mupooooo!!!!?
Millard yu shabiki sana wa magari sampuli za kizamani.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.