Mkali wa kunyetisha 'Taarifa Kumi kali za kila siku' kupitia Clouds Fm kipindi chaitwa 'Aplifaya' Millard Ayo hivi sasa yuko ardhi ya miamba 88.1 kwa nia ya kujumuika na marafiki kushea good time za kuikaribisha 2012. Wazee wa Stone club Mupooooo!!!!?
Millard yu shabiki sana wa magari sampuli za kizamani.
MHE. SIMBACHAWE AITEMBELEA FAMILIA YA HAYATI MSUYA
-
*Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na Familia ya Makamu wa Kwanza
wa Ra...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.