Rais Jakaya Kikwete akimwapisha rasmi Balozi Yohana Sefue kuwa Katibu Mkuu Kiongozi katika hafla iliyofanyika leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akisisitiza jambo kwa viongozi wakuu, Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal (wa tatu kulia), Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (wa pili kulia), Katibu Mkuu Kiongozi mpya, Balozi Ombeni Sefue (wa pili kushoto) na Katibu Mkuu Kiongozi aliyemaliza muda wake, Phillemon Luhanjo muda mfupi baada ya kumwapisha Balozi Ombeni Sefue kuwa Katibu Mkuu mpya, Ikulu, Dar es Salaam. (Picha na Fadhili Akida).
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.