NA VICTOR MASANGU/PWANI. IMESOMWA NA ALBERT G.SENGO Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani katika kutekeleza agizo la Rais Dkt. Samia Suluhu Hasana la kutunza na kuhifadhi mazingira ambapo imefanikiwa kupanda miti zaidi ya mia 500 katika eneo la mnada wa mbuzi na ng'ombe uliopo katika Kata ya Zinga kwa mtoro lengo ikiwa ni kuweza kurudisha uoto wa halisi uliopotea pamoja na kupambana na wimbi la na ukataji wa miti ovyo ambao unasabisha hali ya ukame.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.