
Juzi, Dk Magufuli akiwa katika ziara eneo la Kivukoni alijaribu kuzungumza na wananchi wa Kigamboni kuhusu ongezeko hilo la nauli lakini badala ya wananchi hao kumsikiliza, walizomea ndipo alipowaambia kuwa watakaoshindwa ni vyema wakapiga mbizi baharini, kuzunguka Kongowe kuingia katikati ya jiji au warudi kijijini wakalime.jana, wabunge hao licha ya kumtaka Dk Magufuli aombe radhi, wameitaka Serikali kusitisha mara moja amri ya ongezeko hilo la nauli katika kivuko hicho kutokana na uamuzi huo kufikiwa bila ya kuwashirikisha wananchi.....

Katika Jimbo la Kigoma Kusini, NCCR-Mageuzi inaongoza vijiji nane na ina madiwani wanne katika kata za Nguruka, Itebula, Mgaza na Kandaga.......
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.