


Sehemu zenye udongo mzuri wenye rutuba ndiko hasa huathirika na maradhi haya...Wito kwa serikali kupeleka wataalamu wake haraka katika maeneo yaliyoathirika zaidi vijiji vya Iyunga Kishanda mkoa wa Kagera kwani zao hilo maarufu lenye kushika eneo kubwa la uchumi wa watu wa mkoa huo kuna kila dalili linaweza kutoweka kabisa na kubaki historia kwani baadhi ya wakulima wameanza kubadili kilimo kwa kufyeka zao la ndizi na kuelekea kwenye ukulima wa mazao ya maharagwe na karanga wakikwepa maradhi hayo ya migomba.
Chunguza mjomba utabaini.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.