Watoto hawa walikuwa wakitega samaki kwa kutumia ndoano hatimaye wamenasa kuku maji.
Mie katika kijiji cha wavuvi wilayani Nyamikoma Magu mkoani Mwanza.
Michezo ya watoto ufukweni.
Pozi la kurejea toka shambani baba jembe mkononi mama kuni kichwani na mbwa mlinzi.
Wavuvi bado hawajatia utii nyavu zisizo ruhusiwa.
Usafishaji nyavu na uanikaji.
Nyavu anikoni.
Enzi za NCU Bandari hii ilikuwa bize kwa kusafirisha pamba nchi mbalimbali afrika mashariki lakini hii leo eneo hili limegeuka sehemu ya kuanikia dagaa.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
kaka pande za wapi hizi
ReplyDeleteNimependwa taswira hizo...
ReplyDelete