Fransic Cheka akinyosha mikono juu baada ya kuibuka mshindi na refarii Nemes Kavishe huku Bondia Kalama Nyilawili Amini matokeo hayo.
Cheka na Furaha ya ushindi.
Bondia Ibrahimu Class (kushoto) akipambana na Venasi Mponji wakati wa mpambano utangulizi walitoka droooo
Tup! Tup!!...Ni ndonga kwa kwenda mbele...
Bondia Francis Cheka (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupa masumbwi na Kalama Nyilawila wakati wa mpambano wao uliofanyika uwanja wa Jamhuri Morogoro mwishoni mwa wiki cheka alishinda kwa pointi.
Iran yatafakari pendekezo la Marekani kumaliza vita
-
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei, amesema Tehran
bado inapitia pendekezo hilo na baadaye itawasilisha msimamo wake kupitia
wapatan...
0 comments:
Post a Comment