Fransic Cheka akinyosha mikono juu baada ya kuibuka mshindi na refarii Nemes Kavishe huku Bondia Kalama Nyilawili Amini matokeo hayo.
Cheka na Furaha ya ushindi.
Bondia Ibrahimu Class (kushoto) akipambana na Venasi Mponji wakati wa mpambano utangulizi walitoka droooo
Tup! Tup!!...Ni ndonga kwa kwenda mbele...
Bondia Francis Cheka (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupa masumbwi na Kalama Nyilawila wakati wa mpambano wao uliofanyika uwanja wa Jamhuri Morogoro mwishoni mwa wiki cheka alishinda kwa pointi.
Meridianbet Yatoa Samsung A26 Kupitia Super Heli
-
MERIDIANBET haikuja na kelele, imekuja na mpango mkakati kwa ajili ya
wateja wake. Imeileta promosheni maalumu kupitia mchezo wa Super Heli ikiwa
ni p...
Meridianbet Yatoa Samsung A26 Kupitia Super Heli
-
MERIDIANBET haikuja na kelele, imekuja na mpango mkakati kwa ajili ya
wateja wake. Imeileta promosheni maalumu kupitia mchezo wa Super Heli ikiwa
ni p...
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
0 comments:
Post a Comment