ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, January 30, 2012

FRANCIS CHEKA AMTANDIKA KALAMA NYILAWILA

Fransic Cheka akinyosha mikono juu baada ya kuibuka mshindi na refarii Nemes Kavishe huku Bondia Kalama Nyilawili Amini matokeo hayo.

Cheka na Furaha ya ushindi.

Bondia Ibrahimu Class (kushoto) akipambana na Venasi Mponji wakati wa mpambano utangulizi walitoka droooo

Tup! Tup!!...Ni ndonga kwa kwenda mbele...

Bondia Francis Cheka (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupa masumbwi na Kalama Nyilawila wakati wa mpambano wao uliofanyika uwanja wa Jamhuri Morogoro mwishoni mwa wiki cheka alishinda kwa pointi.

Askali wa usalama wakiendeleza ulinzi wakati wa mpambano huo jana
(picha zote na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.