


Kutokana na rasilimali ya uvuvi serikali ya Tanzania inajipatia mrabaha kupitia kodi za usafirishaji zao la samaki wakavu na wabichi hivyo utoroshaji wa bidhaa hizo unapofnyika unaikosesha serikali mapato.
Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita takwimu zinaonyesha kuwa jumla ya shilingi bilioni 3.7 zimekusanywa na serikali kupitia zao la samaki kwa mkoa wa Mwanza pekee.




Tupe maoni yako
Kilichonisikitisha sio mimi hao sio dagaa wa kawaida ila ni watoto wa sangara, sasa hizo tani 40 ziwani sangara zitabaki na kukua mpaka zifikie kila 150? Jamani hii ni hatari kweli yaani watu wanavua watoto wa sangara eti ni dagaa ? ndo maana tunakosa samaki !
ReplyDelete