Ngoma ya wakali wa Hispania Real Madrid na Barcelona USIKU WA LEO' imeisha kwa droo ya 2-2, dakika 45 za kipindi cha kwanza ziliisha kwa Baca kuongoza 2-0, real walirudisha kupitia C. Ronaldo na Benzema.
Real imewabidi kumaliza mchezo wakiwa pungufu mara baada ya Ramos kupigwa red card ya utata.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.