Ngoma ya wakali wa Hispania Real Madrid na Barcelona USIKU WA LEO' imeisha kwa droo ya 2-2, dakika 45 za kipindi cha kwanza ziliisha kwa Baca kuongoza 2-0, real walirudisha kupitia C. Ronaldo na Benzema.
Real imewabidi kumaliza mchezo wakiwa pungufu mara baada ya Ramos kupigwa red card ya utata.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.