Kwa jiji la Mwanza kuna kundi la ngoma asili laitwa Kadogoli likihusisha vijana kutoka kisiwa cha Ukerewe. Eh bana ee kwetu ni sehemu ya utalii... eNjOy...!!!
TUTABORESHA BAJETI YA ELIMU – WAZIRI MKUU
-
▪️Asema Serikali itaimarisha vitengo vya tathmini na ufuatiliaji kila wizara
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuboresha
baje...
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
Hapo hapo...watu weweeee nimewahi kusikia jina la ngoma kwetu/songea twaiita MADOGOLI ...
ReplyDeleteLuga shabihiana kama leka tutigike... Aaaah mambo ya Kibantuuuu!!! @ Yasinta
ReplyDeleteNkabaa nimekuongezea mzigo wa pili ndugu mtizamaji....
ReplyDelete