Kwa jiji la Mwanza kuna kundi la ngoma asili laitwa Kadogoli likihusisha vijana kutoka kisiwa cha Ukerewe. Eh bana ee kwetu ni sehemu ya utalii... eNjOy...!!!
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
Hapo hapo...watu weweeee nimewahi kusikia jina la ngoma kwetu/songea twaiita MADOGOLI ...
ReplyDeleteLuga shabihiana kama leka tutigike... Aaaah mambo ya Kibantuuuu!!! @ Yasinta
ReplyDeleteNkabaa nimekuongezea mzigo wa pili ndugu mtizamaji....
ReplyDelete