Azam wasema wao ndiyo waliopaswa kuwa mabingwa wa Kombe husika. Jeh! ndugu mtazamaji kwa mujibu wa video hii uliyoiona, unadhani Azam Fc wako sahihi kwa walichokisema?
kweli hao marefa nakumbua miaka ya tisini katika uwanja wa nyamagana mzee kinye nusu afe kwa kipigo toka kwa wachezaji wa buluba ya malampaka kwa vitendo kama hivi mungu inusuru ligi ya tanzania mungu inusuru tanzania
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
kweli hao marefa nakumbua miaka ya tisini katika uwanja wa nyamagana mzee kinye nusu afe kwa kipigo toka kwa wachezaji wa buluba ya malampaka kwa vitendo kama hivi
ReplyDeletemungu inusuru ligi ya tanzania mungu inusuru tanzania