Azam wasema wao ndiyo waliopaswa kuwa mabingwa wa Kombe husika. Jeh! ndugu mtazamaji kwa mujibu wa video hii uliyoiona, unadhani Azam Fc wako sahihi kwa walichokisema?
kweli hao marefa nakumbua miaka ya tisini katika uwanja wa nyamagana mzee kinye nusu afe kwa kipigo toka kwa wachezaji wa buluba ya malampaka kwa vitendo kama hivi mungu inusuru ligi ya tanzania mungu inusuru tanzania
MODULI YA RUFAA KUBORESHA MNYORORO WA UGAVI
-
Na Mwandishi wetu, Dodoma
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imesema ujenzi wa moduli ya
kupokea na kushughulikia malalamiko na rufaa katika mfu...
kweli hao marefa nakumbua miaka ya tisini katika uwanja wa nyamagana mzee kinye nusu afe kwa kipigo toka kwa wachezaji wa buluba ya malampaka kwa vitendo kama hivi
ReplyDeletemungu inusuru ligi ya tanzania mungu inusuru tanzania