Tupe maoni yako
IAEA yajionea mageuzi ya utoaji huduma katika Taasisi ya Ocean Road
-
Mkurugenzi Mkuu wa Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) Profesa Najat Kassim
Mohammed akizungumza kuhusiana na ujio wa IAEA katika Taasisi ya Ocean Road
kuanga...
1 hour ago
Harusi ilifana bi harusi 'grace' ulipendeza sana naona unachekelea sana mpk keki inataka kudondoka basi na iwe ivyo ndani ya nyumba yenu vicheko viendelee mpk mwisho wa maisha yenu.....nawatakia kila la kheri ktk ndoa yenu May lord give u love,happiness and live a healthier life ever....alice harare mapuli...from dar
ReplyDeleteMmependeza sana jamani nawatakia maisha yenye furaha milele yote.
ReplyDeleteKila la Kheri kati maisha yenu mapya wapedwa mungu awatangulie katika kila jambo.G sengo bigup kwa kutuletea matukio motomoto
ReplyDeleteMmeendana sana jamani,Mwenyezi Mungu awabariki na ninyi kuzidi kukumbuka ahadi mlizowekeana mbele la hekalu la Mungu Baba,Mwana na Roho Mtakatifu.
ReplyDeleteAmen.Bwana awe nanyi wapendo.