Tupe maoni yako
Vita vitano inavyopigana Israel
-
Mzozo wa sasa ni mvutano kati ya Israel na Iran, mvutano uliofikia hatua ya
hatari mnamo Juni 2025 baada ya mashambulizi ya wazi kati ya nchi hizo
mbili.
1 hour ago
Harusi ilifana bi harusi 'grace' ulipendeza sana naona unachekelea sana mpk keki inataka kudondoka basi na iwe ivyo ndani ya nyumba yenu vicheko viendelee mpk mwisho wa maisha yenu.....nawatakia kila la kheri ktk ndoa yenu May lord give u love,happiness and live a healthier life ever....alice harare mapuli...from dar
ReplyDeleteMmependeza sana jamani nawatakia maisha yenye furaha milele yote.
ReplyDeleteKila la Kheri kati maisha yenu mapya wapedwa mungu awatangulie katika kila jambo.G sengo bigup kwa kutuletea matukio motomoto
ReplyDeleteMmeendana sana jamani,Mwenyezi Mungu awabariki na ninyi kuzidi kukumbuka ahadi mlizowekeana mbele la hekalu la Mungu Baba,Mwana na Roho Mtakatifu.
ReplyDeleteAmen.Bwana awe nanyi wapendo.