Tupe maoni yako
Maandamano Tanzania: Balozi 16 za nchi za magharibi zataka uchunguzi huru
wa matukio ya Octoba 29
-
Balozi hazi zimesisitiza kwamba Serikali ya Tanzania ina wajibu wa kutoa
taarifa ya kina kuhusu hatima na mahali waliko watu wote waliotekwa nyara.
51 minutes ago
Mji wa mwanza unasehemu chache nzuri na nyingi Mbaya! ni vema mkaonyesha na sehemu nyingine ili watu wajue hali halisi. au tuonyeshe city kama Arusha ambako ni kuzidi hata hii mwanza kwa sehemu nzuri.
ReplyDeletewewe unaongea nini wew!!utafananisha mwanza na arusha.mwanza ni mji msafi na pia ht kimajengo wanamajengo mzr kushinda a town utake usitake!acha ushabiki!
Delete