Kwa sisi wakazi wa Kirumba jijini mwanza blog hii haionyeshi taswira halisi ya jiji letu bali kusifia na majengo yake kadhaa yaliyokuwepo. Hope umeona miji mingine ilivyo na haijisifii! Kwa ukweli hapa sihemu nzuri ni hizo tu ulizobandika hapo. Pls piga debe watukumbuke na sehemu hizi nyingine na si kushangaa vigorofa hivi vichache! Na kwa sasa biashara ya samaki imekimbia majengo haya 70% hayana hata wapangaji! ni Ishengoma, Kirumba.
Je, Upweke una athari gani kiafya?
-
Wataalamu wengi wanakubali kwamba upweke hutokea unapohisi ubora wa
mahusiano yako binafsi na watu wengine yako chini kuliko vile unavyotamani
yawe.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
Kwa sisi wakazi wa Kirumba jijini mwanza blog hii haionyeshi taswira halisi ya jiji letu bali kusifia na majengo yake kadhaa yaliyokuwepo. Hope umeona miji mingine ilivyo na haijisifii! Kwa ukweli hapa sihemu nzuri ni hizo tu ulizobandika hapo. Pls piga debe watukumbuke na sehemu hizi nyingine na si kushangaa vigorofa hivi vichache! Na kwa sasa biashara ya samaki imekimbia majengo haya 70% hayana hata wapangaji! ni Ishengoma, Kirumba.
ReplyDelete