Kwa sisi wakazi wa Kirumba jijini mwanza blog hii haionyeshi taswira halisi ya jiji letu bali kusifia na majengo yake kadhaa yaliyokuwepo. Hope umeona miji mingine ilivyo na haijisifii! Kwa ukweli hapa sihemu nzuri ni hizo tu ulizobandika hapo. Pls piga debe watukumbuke na sehemu hizi nyingine na si kushangaa vigorofa hivi vichache! Na kwa sasa biashara ya samaki imekimbia majengo haya 70% hayana hata wapangaji! ni Ishengoma, Kirumba.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
Kwa sisi wakazi wa Kirumba jijini mwanza blog hii haionyeshi taswira halisi ya jiji letu bali kusifia na majengo yake kadhaa yaliyokuwepo. Hope umeona miji mingine ilivyo na haijisifii! Kwa ukweli hapa sihemu nzuri ni hizo tu ulizobandika hapo. Pls piga debe watukumbuke na sehemu hizi nyingine na si kushangaa vigorofa hivi vichache! Na kwa sasa biashara ya samaki imekimbia majengo haya 70% hayana hata wapangaji! ni Ishengoma, Kirumba.
ReplyDelete