Kwa sisi wakazi wa Kirumba jijini mwanza blog hii haionyeshi taswira halisi ya jiji letu bali kusifia na majengo yake kadhaa yaliyokuwepo. Hope umeona miji mingine ilivyo na haijisifii! Kwa ukweli hapa sihemu nzuri ni hizo tu ulizobandika hapo. Pls piga debe watukumbuke na sehemu hizi nyingine na si kushangaa vigorofa hivi vichache! Na kwa sasa biashara ya samaki imekimbia majengo haya 70% hayana hata wapangaji! ni Ishengoma, Kirumba.
TIA YAANZISHA KAMPASI MPYA MKOANI TANGA
-
NA EMMANUEL MBATILO
TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeanzisha Kampasi mpya ya TIA mkoani
Tanga, ambayo inalenga kuhudumia wanafunzi kutoka kanda ya Kask...
XERIN AIR CARGO YALETA NDEGE YA MIZIGO TOKA DUBAI
-
*Kampuni ya Xerin Group inajivunia kutangaza kuzindua rasmi huduma yake
maalum ya kuasafirisha Mizigo kwa njia ya Ndege, hatua kubwa katika
kuimarisha...
Kwa sisi wakazi wa Kirumba jijini mwanza blog hii haionyeshi taswira halisi ya jiji letu bali kusifia na majengo yake kadhaa yaliyokuwepo. Hope umeona miji mingine ilivyo na haijisifii! Kwa ukweli hapa sihemu nzuri ni hizo tu ulizobandika hapo. Pls piga debe watukumbuke na sehemu hizi nyingine na si kushangaa vigorofa hivi vichache! Na kwa sasa biashara ya samaki imekimbia majengo haya 70% hayana hata wapangaji! ni Ishengoma, Kirumba.
ReplyDelete