Kwa sisi wakazi wa Kirumba jijini mwanza blog hii haionyeshi taswira halisi ya jiji letu bali kusifia na majengo yake kadhaa yaliyokuwepo. Hope umeona miji mingine ilivyo na haijisifii! Kwa ukweli hapa sihemu nzuri ni hizo tu ulizobandika hapo. Pls piga debe watukumbuke na sehemu hizi nyingine na si kushangaa vigorofa hivi vichache! Na kwa sasa biashara ya samaki imekimbia majengo haya 70% hayana hata wapangaji! ni Ishengoma, Kirumba.
TAMASHA LA ZIFF KURINDIMA JUNI 25-29 ZANZIBAR
-
* Filamu 430 zapokelewa kutoka Nchi za Afrika, Ulaya……
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MAANDALIZI ya Tamasha la Kimataifa la Filamu la Zanzibar (ZIFF,) m...
WAZIRI MKUU AZINDUA ALBINO MOBILE APP
-
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa
amezindua 'Albino Mobile App' ambayo ni program ya simu janja
itakayowezasha usajili na...
GEORGE MASAJU ATEULIWA JAJI MKUU
-
*Na Happiness Katabazi.*
*RAIS Samia Suluhu Hassan Leo amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George
Mcheche Masaju Kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania.*
*Kwa Mujibu ...
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
Kwa sisi wakazi wa Kirumba jijini mwanza blog hii haionyeshi taswira halisi ya jiji letu bali kusifia na majengo yake kadhaa yaliyokuwepo. Hope umeona miji mingine ilivyo na haijisifii! Kwa ukweli hapa sihemu nzuri ni hizo tu ulizobandika hapo. Pls piga debe watukumbuke na sehemu hizi nyingine na si kushangaa vigorofa hivi vichache! Na kwa sasa biashara ya samaki imekimbia majengo haya 70% hayana hata wapangaji! ni Ishengoma, Kirumba.
ReplyDelete