Tupe maoni yako
Marekani: Wanajeshi wengine 2,000 kupelekwa Los Angeles
-
Mwanasheria mkuu wa California amemshitaki Rais Trump kwa kutuma majeshi
jimboni humo bila ya ridhaa ya Gavana.
39 minutes ago
Mji wa mwanza unasehemu chache nzuri na nyingi Mbaya! ni vema mkaonyesha na sehemu nyingine ili watu wajue hali halisi. au tuonyeshe city kama Arusha ambako ni kuzidi hata hii mwanza kwa sehemu nzuri.
ReplyDeletewewe unaongea nini wew!!utafananisha mwanza na arusha.mwanza ni mji msafi na pia ht kimajengo wanamajengo mzr kushinda a town utake usitake!acha ushabiki!
Delete