NGOMA INAENDELEA KUSONGA NA KILA INAKORINDIMA INAACHA SIMULIZI. KUWA MAKINI PINDI INAPOZURU MKOA UNAOISHI AU HATA UKIISIKIA MKOA WA JIRANI HIMA ISIKUPITE.
Sengo!Blog Bomba sana na yaukweli sana. Unavitu tofauti sana sana na wengine. Kuhusu One love fiesta mwambie joe na ruge this time "wametuibia" mwanza iko juu na tunataka vitu vya kiwango. Ni 100 times wangeletwa wazee wa ngwasuma tukafiestika kuliko " vitoto" vinavyocheza maigizo ya Play back na promo kubwaaaaa! next time tutawatoa nishai. Mnaleta wasanii wenu wachovu tunaleta msondo ama kmondo sound. Hivi Ruge na Joe wataendelea kupaona mwanza kama Kijiji hadi line?? waambie " wachunguze wajomha watabhainiii
Maji bwawa la Mindu ni Salama - Bonde la wami Ruvu
-
Na Farida Mangube Morogoro
Bodi ya Maji ya Bonde la Wami-Ruvu imewatoa hofu wakazi wa Manispaa ya
Morogoro kuwa maji ya Bwawa la Mindu ni salama, kwani ke...
Sengo!Blog Bomba sana na yaukweli sana. Unavitu tofauti sana sana na wengine.
ReplyDeleteKuhusu One love fiesta mwambie joe na ruge this time "wametuibia" mwanza iko juu na tunataka vitu vya kiwango. Ni 100 times wangeletwa wazee wa ngwasuma tukafiestika kuliko " vitoto" vinavyocheza maigizo ya Play back na promo kubwaaaaa! next time tutawatoa nishai. Mnaleta wasanii wenu wachovu tunaleta msondo ama kmondo sound. Hivi Ruge na Joe wataendelea kupaona mwanza kama Kijiji hadi line?? waambie " wachunguze wajomha watabhainiii