NGOMA INAENDELEA KUSONGA NA KILA INAKORINDIMA INAACHA SIMULIZI. KUWA MAKINI PINDI INAPOZURU MKOA UNAOISHI AU HATA UKIISIKIA MKOA WA JIRANI HIMA ISIKUPITE.
Sengo!Blog Bomba sana na yaukweli sana. Unavitu tofauti sana sana na wengine. Kuhusu One love fiesta mwambie joe na ruge this time "wametuibia" mwanza iko juu na tunataka vitu vya kiwango. Ni 100 times wangeletwa wazee wa ngwasuma tukafiestika kuliko " vitoto" vinavyocheza maigizo ya Play back na promo kubwaaaaa! next time tutawatoa nishai. Mnaleta wasanii wenu wachovu tunaleta msondo ama kmondo sound. Hivi Ruge na Joe wataendelea kupaona mwanza kama Kijiji hadi line?? waambie " wachunguze wajomha watabhainiii
KASULU YAZIDI KUNUFAIKA NA MALIASILI NA UTALII
-
Na Sixmund Begashe, Dodoma
Wananchi wa Jimbo la Kasulu Vijijini wameendelea kunufaika na uwepo wa
mwekezaji katika kitalu cha Makere Forest Reserve kwa k...
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
Sengo!Blog Bomba sana na yaukweli sana. Unavitu tofauti sana sana na wengine.
ReplyDeleteKuhusu One love fiesta mwambie joe na ruge this time "wametuibia" mwanza iko juu na tunataka vitu vya kiwango. Ni 100 times wangeletwa wazee wa ngwasuma tukafiestika kuliko " vitoto" vinavyocheza maigizo ya Play back na promo kubwaaaaa! next time tutawatoa nishai. Mnaleta wasanii wenu wachovu tunaleta msondo ama kmondo sound. Hivi Ruge na Joe wataendelea kupaona mwanza kama Kijiji hadi line?? waambie " wachunguze wajomha watabhainiii