ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, July 7, 2024

WAZIRI SILAA,RC PWANI WATUA CHAMAKWEZA CHALINZE KUINGILIA KATI SAKATA LA MGOGORO WA ARDHI

VICTOR MASANGU, PWANI

SERIKALI mkoani Pwani imesema haitowafumbia macho watu watakao kujichukulia sheria mikononi kwa kuwapiga wananchi wanaowatuhumu kwa makosa mbalimbali na kuliagiza  Jeshi la polisi kuwakamata mara moja wale wote ambao wamehusika kwenye makosa ya hivi karibuni kwani wamekuwa ni chanzo cha vurugu na uvunjifu wa amani.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani  Abubakari Kunenge wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri wa ardhi Jerry Silaa yenye lengo la kusikiliza kero na changamoto za  wananchi kutoka vijiji mbali mbali  vilivyopo katika  Halmashauri ya Chalinze Wilaya ya Bagamoyo  ili kuweza  kuzitafutia ufumbuzi.


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.