NA ALBERT G.SENGO/MWANZA
"TTCL tunataka kuleta uhuru wakuweza kutumia WIFE yenye nguvu na kasi, bila kila mtu kwenye familia kulazimika kuwa na bando lake, na hiyo ni katika kutimiza ahadi aliyoitoa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa wananchi wake kwamba 'Mawasiliano ni haki ya kila Mtanzania' " amesema Zuhura Muro, Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL, katika Hotel ya Malaika wakati wa kufuturisha wakazi wa jiji la Mwanza. Haya yanajiri wakati Serikali ikiwa tayari meanza mradi wa ujenzi wa minara mipya 758 kwa ajili ya kupanua wigo wa mawasiliano (coverage) itakayowanufaisha watanzania zaidi ya milioni 8 nchini na kupunguza gharama za kuweka mkongo kwenye hifadhi za barabara. #ttcl #samiasuluhuhassan #mwanza #jembefm
"TTCL tunataka kuleta uhuru wakuweza kutumia WIFE yenye nguvu na kasi, bila kila mtu kwenye familia kulazimika kuwa na bando lake, na hiyo ni katika kutimiza ahadi aliyoitoa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa wananchi wake kwamba 'Mawasiliano ni haki ya kila Mtanzania' " amesema Zuhura Muro, Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL, katika Hotel ya Malaika wakati wa kufuturisha wakazi wa jiji la Mwanza. Haya yanajiri wakati Serikali ikiwa tayari meanza mradi wa ujenzi wa minara mipya 758 kwa ajili ya kupanua wigo wa mawasiliano (coverage) itakayowanufaisha watanzania zaidi ya milioni 8 nchini na kupunguza gharama za kuweka mkongo kwenye hifadhi za barabara. #ttcl #samiasuluhuhassan #mwanza #jembefm
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.