ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, April 7, 2024

TTCL KUJA NA INTERNET YENYE KASI ZAIDI YAFICHUA SIRI WAKATI WA KUFUTURISHHA JIJINI MWANZA

 

NA ALBERT G.SENGO/MWANZA
"TTCL tunataka kuleta uhuru wakuweza kutumia WIFE yenye nguvu na kasi, bila kila mtu kwenye familia kulazimika kuwa na bando lake, na hiyo ni katika kutimiza ahadi aliyoitoa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa wananchi wake kwamba 'Mawasiliano ni haki ya kila Mtanzania' " amesema Zuhura Muro, Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL, katika Hotel ya Malaika wakati wa kufuturisha wakazi wa jiji la Mwanza. Haya yanajiri wakati Serikali ikiwa tayari meanza mradi wa ujenzi wa minara mipya 758 kwa ajili ya kupanua wigo wa mawasiliano (coverage) itakayowanufaisha watanzania zaidi ya milioni 8 nchini na kupunguza gharama za kuweka mkongo kwenye hifadhi za barabara. #ttcl #samiasuluhuhassan #mwanza #jembefm

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.