ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 29, 2024

MASHABIKI WA SIMBA WAPATA AJALI MMOJA AFARIKI

 


Na Victor Masangu,Vigwaza


Mtu mmoja ambaye ni shabiki wa Klabu ya Simba anahofiwa kufariki dunia katika ajali ya gari aina ya coaster iliyokuwa imebeba mashabiki wa Simba ikitokea Mbeya kupata ajali ya  kugongana na Lori leo alfajiri majira  katika eneo la Vigwaza mizani Mkoa wa Pwani.


Taarifa za awali ambazo zimethibitisha na Mwenyekiti wa kijiji cha Vigwaza  zinaeleza kuwa gari hiyo iliyokuwa imebeba mashabik wa Simba ilikuwa inatokea MkoaniMbeya kuelekea Jijini Dar es Saalam.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.