ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, June 22, 2023

ONYO KWA WANAOPOTOSHA NENO 'UBAHARIA'

 NA ALBERT G. SENGO/MWANZA

Jamii imeaswa kujiepusha na matumizi mabaya kwa neno 'Baharia', rai hiyo imetolewa hii leo na Waziri wa Ujenzi na uchumi wa Buluu Zanzibar Mhe.Suleiman Masoud Makame wakati akifungua wiki ya Maonesho ya Siku ya Mabaharia Duniani kitaifa inayofanyika katika Viwanja vya Furahisha vilivyopo Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza. #mwanza #samiasuluhuhassan #kaziiendelee #SikuYaMabahariaDuniani

















Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.