ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, June 22, 2023

KIJANA ALIYEMWIGIZA HAYATI MAGUFULI UZINDUZI SIKU YA MABAHARIA DUNIANI ATIKISA MWANZA

 NA ALBERT G. SENGO/MWANZA

Akiigiza kwa ufundi sauti za baadhi ya viongozi wakuu waliopita katika awamu mbalimbali za uongozi nchini Tanzania, kijana Amran Mzalendo amesisimua adhira iliyohudhuria maonesho ya siku ya Mabaharia Duniani yanayoendelea katika Viwanja vya Furahisha vilivyopo katika Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza yakitarajiwa kuhitimishwa Jumapili ya Tarehe 25 Juni 2023. Sikiliza ufundi wake kisha twambie wampa asilimia ngapi!!

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.