ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, April 13, 2023

TWENZETU KWENYE KARIAKOO DARBY.


 TAWI LA YANGA MWANZA MJINI 

👉Kamati Tendaji Tawi la Yanga Mwanza mjini,Inawatangazia safari ya kwenda Dar es salaam kwenye Darby kati ya "Simba v Yanga" itakayochezwa tarehe 16/04/2023 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa(Lupaso)


Kuchangia safari ya kwenda:-

👉🏽Wanachama/Wapenzi na Mashabiki wanaokwenda na kurudi ni Tshs.70,000/

👉🏽Wanachama wasiosafiri watachangia kuanzia Tshs. 5,000/= na kuendelea


👉Wanachama, Wpenzi na Mashabiki wa Yanga Mkoa wa Mwanza na viunga vyake nyote mnakaribishwa sana

 

Tuma muamala wako kwenda no:-


0744635402 

Jina:- 

YANGA MWANZA MJINI


"Tuma pesa na kisha fika ofisini mtaa wa Rufiji Upate risiti yako"


Mwisho wa kupokea

 Nauli ni  tarehe:

 12/04/2023

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.