ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, April 5, 2023

MUSONDA: MOTO UTAWAKA HAPO

 


Mshambuliaji wa Yanga, Kenedy Musonda amesisitiza kwamba kuna moto unakuja kimataifa.

.

“Nimecheza mechi nyingi za mashindano ya ndani na kimataifa nje ya Yanga lakini tangu nimetua hapa nimegundua utofauti mkubwa ni nchi ambayo mashabiki wanapenda sana mpira wapo na timu zao nyakati zote.

.

“Tuna timu nzuri wachezaji ni wapambanaji na wana uchu wa mafanikio ukimuangalia mchezaji mmoja mmoja unaona anapambana kutafuta nafasi ili kuonyesha kile alichonacho na benchi la ufundi limekuwa likitoa nafasi.” alisema.

.

Musonda alisema wao kama wachezaji baada ya kupambana na kufanikiwa kuongoza kundi sasa wanataka kuionyesha Afrika walichonacho.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.