Njombe
Bodi ya Filamu Tanzania imeridhishwa na ubora wa kazi za wasanii mikoani huku ikifurahishwa na mwamko wa wasanii kukabidhi kazi zao kwa bodi kwa ajili ya kuwania tuzo za filamu.
Akifafanua namna wasanii wanavyojitokeza na kuwasilisha kazi zao katika kampeni ya mtaa kwa mtaa zitakazokwenda kuwania tuzo katika tamasha la tuzo za filamu mwaka wa 2022,Benson Mkenda kaimu meneja wa kitengo cha utayarishaji kutoka bodi ya filamu amesema wamebaini uwepo wa kazi nzuri za wasanii katika maeneo ya mikoani zitakazoendelea kuleta ushindani mkubwa kwenye tuzo.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.