ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, December 10, 2021

MHE. RAIS SAMIA NA MHE. RAIS KENYATA WAKIZUNGUMZA NA VYOMBO VYA HABARI

 Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Uhuru Muigai Kenyatta wakizungumza na vyombo vya Habari na kushuhudia utiaji wa Saini wa Hati za Makubaliano na Ushirikiano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Kenya leo tarehe 10 Desemba, 2021 katika viwanja vya Ikulu, Jijini Dar es Salaam

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.