ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, December 11, 2021

VIKOSI:- SIMBA V/s YANGA TAREHE 11/12/2021

 

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba anatarajiwa kukiongoza kikosi chake leo kwenye mchezo wa dabi dhidi ya Yanga.

Hiki hapa kikosi chake rasmi ambacho kitaanza Uwanja wa Mkapa:-

Aish Manula

Shomar Kapombe

Hussein

Onyango Joash

Mkude Jonas

Kibu Dennis

Kanoute

Kagere

Morrison

Hassan Dilunga

 

Akiba

Kakolanya

Israel

Kennedy

Nyoni Erasto

Mzamiru

Banda

Bocco

Bwalya

Mhilu

LEO ni Desemba 11,2021 saa 11:00 jioni mchezo wa ligi kati ya Simba na Yanga unatarajiwa kuchezwa.

Hiki hapa kikosi cha Yanga ambacho kinatarajiwa kuanza:-

Diarra Djigui

Djuma Shaban

Dickson Job

Kibwana Shomari

Bakari Mwamnyeto

Jesus Moloko

Bangala Yannick

Aucho Khalid

Feisal Salum

Fiston Mayele

Said Ntibanzokiza

Akiba
Johora
Yassin
Bryson
Mauya
Makambo
Kaseke
Yusuf
Farid

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.