ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 2, 2020

JEH WAISLAMU WANAPASWA AU HAWAPASWI KUSHEREHEKEA MWAKA MPYA?


Shekhe Hassan Kabeke ni Sheikh wa mkoa wa Mwanza anajibu hoja hiyo kwa mifano ya Hadithi za Quran Tukufu, Ni katika kusanyiko la kusherehekea mwaka mpya 2020 iliyofanyika Tahere 01/Januari/2020 katika viwanja vya ofisi za BAKWATA zilizopo kata ya Mirongo wilayani Nyamagana jijini hapa, ambapo viongozi hao wa Baraza na baadhi ya waumini walijumuika kunywa na kula chakula cha pamoja na watoto yatima wanaolelewa na baadhi ya vituo vya kiislamu.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.