ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, December 26, 2019

WANAFUNZI WATALII KISIWA CHA SAANANE.

Mwongoza watalii qa Hifadhi ya Saanane Michael Pascal kuwapa maelezo wanafunzi na walimu wa Kilimani Sekondari walipotembelea hifadhi hiyo. 
Walimu wa Shule ya Kilimani  Sekondari  wakiwa wamevalia maboya kujiokolea kabla ya kupanda boti kuekelea Hifadhi ya Saanane jana.


 Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kilimani wakiwa wameruka juu ya mwamba eneo la Jumping Stone katika Hifadhi ya Saanane jana.
 Mkurugenzi wa kampuni ya URSINO Ltd Mnandi Mrutu Mnandi  (kulia) pamoja na Mkuu wa Shule ya Sekondari Kilimani wakionyesha umakini wa kuruka juu kwenye mwamba wa Jumping Stone katika Hifadhi ya Saanane. 
 Mwongoza watalii katika Hifadhi ya Saanane Michael Pascal akiwapa maelezo Wanafunzi na walimu wa Kilimani Sekondari ikiwemo Mkurugenzi wa kampuni ya URSINO Ltd Mnandi Mrutu Mnandi, kushoto mwenye kofia walipotembelea hifadhi hiyo jana.
 Mkurugenzi wa kampuni ya URSINO Ltd Mnandi Mrutu Mnandi (mwenye kofia) akizungumza jambo wakati wa ziara ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kilimani kutembelea Hifadhi ya Saanane jana .Mnandi ndiyo aliyefadhili ziara hiyo.
Mkurugenzi wa kampuni ya URSINO Ltd,Mnandi Mrutu Mnandi wa nne kutoka kulia akishiriki pamoja na wanafunzi wa Shule ya Kilimani Sekondari, kuruka juu ya mwamba (Jumping Stone) katika Hifadhi ya Saanane. Wa tatu kutoka kulia ni Mkuu wa Shule hiyo Gerana Majaliwa.
 Mkurugenzi wa kampuni ya URSINO Ltd, Mnandi Mrutu Mnandi aliyeketi kuahoto,Mkuu wa Shule ya Sekondari Kilimani Gerana Majaliwa  (kulia) walimu pamoja na wanafunzi wa shule hiyo wakimsikiliza mwongoza watalii qa Hifadhi ya Saanane, Michael Pascal ,aliyesimama.
Boti za Hifadhi ya Saanane zikiwa zimewabeba wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kilimani kwenda kutembelea Hifadhi ya Saanane jana  kwa ufadhili wa Mkurugenzi wa kampuni ya URSINO Ltd Mnandi Mrutu Mnandi.  Picha zote na Baltazar Mashaka 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.