ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, December 11, 2019

HIFADHI YA TAIFA KUPEWA KIPAUMBELE,SHUGHULI NYINGINE KUSITISHWA.

Kamishna wa hifadhi tanapa dactar ALLAN  KIJAZI  amesema kuwa wadau mbalimbali hapa nchini wanatakiwa kuona namna  bora wanaweza  kusimamia hifadhi  mpya ya TAIFA  YA NYERERE kwani ni  hifadhi muhimu KITAIFA ambayo ilikuwa ni sehemu ya pori la akiba lililipo chini ya mamlaka ya  usimamizi wa wanyama pori TAWA ambapo ilitangazwa rasmi na raisi  DK, JOHN  POMBE MAGUFURI baada ya bunge la jamuhuli ya muungano wa TANZANIA  kuridhia azimio kupandishwa hadhi hifadhi hiyo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.