ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, December 11, 2019

BAADA YA SUNGUSUNGU KUSISIMUA MAADHIMISHO YA UHURU 2019 RAIS MAGUFULI AWAZAWADIWA NG'OMBE 10



“TUNAJUA vikundi hivi vikiimarishwa kitaaluma na kiuwezo vinakuwa na nafasi kubwa ya luketa mabadiliko katika mfumo wa maboresho ya ulinzi katika jamii yetu. Nimalize kwa kunena Sungusungu ni muhimu sana katika jamii yetu kwa sababu ni walinzi wetu wanaoishi katika eneo letu na wanawajua vibaka wetu mitaani na namna ya kupambana nao. Pia hao ni msaada wa karibu kwa polisi walioko katika doria ndani ya maeneo yao” Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella, wakati akikabidhi zawadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Joseph Magufuli kwa vikosi 13 vya Sungusungu mkoani Mwanza baada ya kutia for a katika maonesho ya Sherehe za Uhuru wa Tanganyika miaka 58 na 57 ya Jamhuri, makabidhiano yakifanyika Ng’ungumalwa wilayani Kwimba mkoani humo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.