ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, October 18, 2019

HABARI ZILIZOTIKISA: SUDAN 1-2 TANZANIA (KUFUZU CHAN 2020 - 18/10/2019)


#BreakingNews Tanzania yafuzu fainali za CHAN mwaka 2020 kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2009. Ni baada ya kushinda 2-1 dhidi ya Sudan na kufuzu kwa faida ya goli la ugenini.


Kikosi cha Taifa Stars kilichoshuka dimbani leo kwenye mchezo wa Marudiano kufuzu CHAN dhidi ya Sudan.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.