ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, August 14, 2019

WAZIRI MASAUNI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI VISIWANI ZANZIBAR

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani  ya Nchi, ambae pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza wakati wa Kikao cha Wajumbe wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani Visiwani Zanzibar, kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano,Elias Kwandikwa.
 Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano,Elias Kwandikwa ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani,Elias Kwandikwa akizungumza wakati wa Kikao cha Wajumbe wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani Visiwani Zanzibar.
 Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Nchini,Kamishna Mwandamizi Msaidizi, Fortunatus Musilimu, akizungumza wakati wa Kikao cha Wajumbe wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani Visiwani Zanzibar. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Mjumbe wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani,Hamza Kasongo akizungumza wakati wa Kikao cha Wajumbe wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani Visiwani Zanzibar.
Mjumbe wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani,Henry Bantu akizungumza wakati wa Kikao cha Wajumbe wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani Visiwani Zanzibar. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.