Liverpool ilishinda kombe la Super Cup kwa mara ya nne katika historia kwa kuilaza Chelsea 5-4 kwa mikwaju ya penalti baada ya sare ya 2-2 mjini Istanbul.
Kipa Adrian alizuia penalti iliopigwa na mshambuliaji wa Chelsea Tammy Abraham kuwapatia ushindi mabingwa hao wa kombe la mabingwa Ulaya.
Chelsea ilikua imechukua uongozi katika kipindi cha kwanza kupitia Olivier Giroud lakini Sadio Mane alifunga mara mbili kuipatia uongozi Liverpool.

Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.