ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, August 1, 2019

BALOZI IDDI AZINDUA MRADI WA MAJI KATIKA NYUMBA MPYA ZA ASKARI POLISI MAHONDA

 Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi  Seif Ali Idd, akifungua bomba kuashiria Uzinduzi wa Mradi wa Maji kwenye Eneo la Nyumba za Polisi, zilizoko katika Jimbo la  Mahonda, Mkoa wa  Kaskazini Unguja.Aliyevaa koti ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
 Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi  Seif Ali Idd, akimtwisha ndoo ya maji mwananchi wa Mahonda baada ya  Uzinduzi wa Mradi wa Maji kwenye Eneo la Nyumba za Polisi, zilizoko katika Jimbo la  Mahonda, Mkoa wa  Kaskazini Unguja.Katikati  ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi  Seif Ali Idd(kulia), akifurahia baada ya  kumtwisha ndoo ya maji mwananchi wa Mahonda baada ya  Uzinduzi wa Mradi wa Maji kwenye Eneo la Nyumba za Polisi, zilizoko katika Jimbo la  Mahonda, Mkoa wa  Kaskazini Unguja.Wapili kulia   ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.