Umechelewa kuipata hii toka kwa Malkia wa Taarab nchini Tanzania 'KHADIJA OMAR KOPA' lakini ipate sasa na iwe kama kumbukumbu, ya Tamasha kubwa la Burudani 'Wasafi Festival' lililofanyika CCM Kirumba Mwanza 2018.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment