Baadhi ya kiwanda cha Konyagi kilichopo chini ya TBL Group wakiwa na mabango yenye ujumbe wa utunzaji wa mazingira baada ya kushiriki zoezi la kupanda miti na kusafisha mazingira
Wafanyakazi wa TBL kiwanda cha Arusha wakishiriki kupanda miti katika eneo la Themi, Arusha
Baadhi ya wafanyakazi wa TBL kiwanda cha Arusha wakiwa na bango lenye ujumbe wa utunzaji wa mazingira baada ya kushiriki zoezi la kupanda miti zaidi ya 1,000 katika eneo la chanzo cha maji kilichopo Mtaa wa Kambarage,Kata ya Themi katika kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani 2019.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.