ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, June 19, 2019

NINI TAFSIRI YA BAJETI YA SERIKALI 2019 2020 KWA WAFANYABIASHARA NA UWEKEZAJI MWANZA



SIKU 5 baada ya Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango kuwasilishwa Bungeni Dodoma bajeti Kuu ya Serikali  ya Tanzania,  JOHN MONGELLA ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza anakutana na wadau wa Baraza la Biashara katika ukumbi wa mikutano ofisini  pake kujadili masuala mbalimbali ya biashara, fursa, changamoto na utatuzi wake.

Yawezekana kupitia kikao hiki unaweza kuvutiwa kufanya uwekezaji mkoani Mwanza....!!

Kupata yaliyojiri na kuzijua fursa zilizopo ungana nasi kufuatilia Video hii.


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.