ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, December 6, 2018

UKOSEKANAJI WA KUMBUKUMBU CHANZO CHA MALALAMIKO YA WAFANYABIASHARA.



GSENGOtv

Wafanyabiashara mkoani Mwanza  wametakiwa kuweka kumbukumbu sahihi za biashara zao ili serikali iweze kupata kodi yake kikamilifu na kupunguza malalamiko kwa serikali katika makadirio ya ulipaji wa kodi.

Hayo yamebainishwa mkoani Mwanza na Mtaalam  kondi mamlaka ya mapato Tanzania TRASweetbert Igambisa katika wa klabu ya wafanyabishara waliokutanishwa na banki ya KCB.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.