ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, November 24, 2018

ONYO KWA MADEREVA WANAOJIHUSISHA NA USAFIRISHAJI DAWA ZA KULEVYA.



NJOMBE/GSENGOtV

Jeshi la Polisi Mkoani Njombe Limetoa Onyo Kwa Madereva Mjini Makambako Kuacha Kujihusisha na Usafirishaji wa Dawa za Kulevya na Badala Yake Wasaidie Kuripoti Viashiria Vya Dawa Hizo.


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Renatha Mzinga Ametoa Kauli Hiyo Wakati Akifunga Mafunzo ya Udereva Yaliyokuwa Yakiendeshwa Mjini Makambako Chini ya Chuo Cha  Future World Driving School Cha Jijini Dar es Salaam Mafunzo Ambayo Yamekuwa Yakitolewa Katika Maeneo Mbalimbali Mkoani Njombe.

TAARIFA ZAIDI NA AMIRI KILAGALILA

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.