ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, October 26, 2018

WAANDISHI WA HABARI WA MITANDAO YA KIJAMII SASA KUHAMIA VIJIJINI



 GSENGOtV

Ni kupitia Mradi wa Data Driven Advocacy (DDA) unaozijengea asasi za kiraia na wanahabari wa vyombo vya habari mbadala kutumia takwimu katika ushawishi na utetezi wa kazi zao, ambapo waandishi wa habari licha ya kupata fursa ya kujadili changamoto wanazokutana nazo, sheria wapi zinawakwamisha pia wanapata fursa ya kufunguka kile walichojifunza na namna watakavyokwenda kukifanyia kazi kwa maslahi ya taifa.















Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.