Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella amepokea ugeni kutoka Chama cha Walimu Tanzania ukiongonzwa na Rais wao Comrade Leah H. Ulaya waliofika Mkoani hapa kwa ajili ya maandalizi ya maadhimisho ya siku ya mwalimu duniani pamoja na maadhimisho ya Jubilei ya Miaka 25 ya kuzaliwa Chama cha Walimu Nchini (CWT) yanayotarajiwa kufanyika Novemba 1 mwaka huu Mkoani hapa. Kaulimbiu ya Maadhimisho hayo "Haki ya kupata elimu ni haki ya kuwa na Mwalimu Mahiri."
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.