ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, October 19, 2018

OPRAS NI NJIA MUHIMU YA KULETA UFANISI WA WATUMISHI.

 Mkurugenzi wa Utawala wa Tume wa Utumishi wa Walimu Moses Chitanda, alipokuwa akifungua mafunzo ya OPRAS kwa Maafisa Elimu wa Mkoa wa Manyara jijini Dodoma.
 Mwakilishi kutoka Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta ya Umma, PS3 Geoffrey Lufumbi, akitoa maelezo ya utangulizi na jukumu la mradi huo wakati wa mafunzo hayo ya OPRAS (Picha zote na Atley Kuni-OR TAMISEMI).
 Mmoja ya Wawezeshaji wa Kitaifa kuhusu Mafunzo ya Mfumo wa OPRAS Nicodemas Tindwa akitoa mada katika Semina hiyo ya siku mbili jijini Dodoma
 Mmoja ya Washiriki wa Mafunzo hayo Bibi Tarimo, Afisa Elimu Sekondari kutoka Wilayan Hanang mkoani Manyara akichangia mada katika mafunzo hayo.
Washiriki wa Mafunzo ya OPRAS Yanayo wakutanisha Maafisa Elimu wa mkoani Manyara wakifatilia kwa makini Mafunzo hayo.


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.