NA ZEPHANIA MANDIA/GSENGOtV
"Mhe. Rais atashuhudia utiaji saini mikataba ya ujenzi wa meli mpya, chelezo na ukarabati wa meli za MV. Butiama, hafla itakayofanyika katika eneo la Bandari ya Kusini (Mwanza South Port) iliyopo kata ya Igogo, Jijini Mwanza tarehe 03 September 2018 kuanzia saa 1:30 Asubuhi"....Ni sehemu ya maelezo ya ziara hiyo.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.