ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, November 21, 2017

CCM MKOA WA MWANZA WAISHUTUMU CHADEMA KWA KUFANYA UVAMIZI KWA KIONGOZI WAO MGOMBEA UDIWANI KATA YA MAHNDU.



CCM Mkoa wa Mwanza wawaonya viongozi wa CHADEMA na wafuasi wake wanaofanya vurugu katika mikitano ya Kampeni ya Chama hicho ikiwemo kuwavizia na kuwashambulia kwa kuwakata mapanga kama walivyofanya kwa Kada wa CCM Thomas Waryoba ambaye aliyewahi kuwa kiongozi wa Ulinzi wa Chadema kabla ya kujiunga na CCM alipofanyiwa unyama huo hivi majuzi katika eneo la Machinjioni Kata ya Mahndu Wilayani Nyamagana.

HAPA Katibu Mwenezi wa Chama hicho mkoa wa Mwanza Mangelepaa anasimulia kilichotokea.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.