Taifa Stars imeilazimisha Benin sare ya bao 1-1 katika mchezo wa
kimataifa wa kirafiki uliopigwa leo nchini Benin. Bao la Benin
limefungwa kwa penati dakika ya 30 huku Stars wakisawazisha dakik ya ya
50.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
0 comments:
Post a Comment