Taifa Stars imeilazimisha Benin sare ya bao 1-1 katika mchezo wa
kimataifa wa kirafiki uliopigwa leo nchini Benin. Bao la Benin
limefungwa kwa penati dakika ya 30 huku Stars wakisawazisha dakik ya ya
50.
Diwani awawashia moto wanaomtukana Rais Samia
-
Na Woinde Shizza ,moshi
Diwani wa kata ya boma mbuzi Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Juma Rahibu,
amewajia juu baadhi ya Watanzania wanaomkashifu na kum...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.